Tuesday, February 26, 2013

Timbulo nguvuni Nchini Rwanda

Msanii wa kizazi kipya,maarufu kwa jina la Timbulo anayefahamika kwa vibao vyake kama Domo Langu, Waleo Wakesho,Samsoni na Delila,anashukiwa kukamatwa na madawa ya kulevya jijini Bujumbura nchini Rwanda.
Timbulo alikuwa nchini humo akifanya shows. hata hivyo,habari zaidi kuhusu tukio hilo zinaendelea kufuatiliwa.

No comments:

Post a Comment