Thursday, February 28, 2013

LIL WYNE NAYE NA YAKE!!!

Msanii maarufu nchini Marekani kutoka kundi la Young Money, Lil Wyne, ametoa taarifa kuwa anmpango wa kujenga club kwaajili ya mashabiki na wapenzi wote wa kundi zima laa YM ili kuweza kufanikishampango mzima wa kuwapa mashabiki burudani wanzostahili.
Taarifazaidi kuhusu sehemu inapojengwa ckub hiyo, na gharama kamili ya ujenzi, vitawekwa wazi hivi karibuni. kaa tayari kupata zaidi kupitia hapa,
 THE SOURCE, MPANGO MZIMA.

No comments:

Post a Comment