Pamoja na mume wa marehemu Goldie Harvey kumuonya vikali hivi karibuni msanii Prezzo kuwa mbali na familia ya Marehemu,Prezzo alihakikisha kwamba anashiriki ibada ya mazishi ya Goldie Harvey nchini Nigeria.
pichani ni rapper Prezzo akiwa na familia ya Goldie Harvey
Kwa sasa rapper Prezzo yupo nchini Kenya.
No comments:
Post a Comment