Thursday, February 28, 2013

wasanii wa Kenya watoa Wimbo mpya kuhamasisha mabadiliko katika uchaguzi ujao.Tazama video yake hapa.

Ikiwa ni muda mfupi wananchi wa Kenya kufanya uchaguzi wa viongozi wao, baadhi ya wasanii wameungana kutoa wumbo wa pamoja, unahamasisha Mabadiliko.
Wimbo huo unaokwenda kwa jina la CHANGE umefanywa na wasanii; Avril, Ala C,Rabit,Jua Cali, Sana Ipei, Tande na Jimvati.

No comments:

Post a Comment