Sunday, February 24, 2013

linnah na Amini ndani ya Bagamoyo





amini








linnah
kati ya nyimbo zilizoweza kurindima vilivyo katika ulimwengu wa burudani kwa siku za hivi karibuni,ni wimbo wa Mtima wangu, wa Amini na Linnah. Wimbo huo ambao ulianza kusikika katika vituo mbalambali vya redio nchini kwa miezi mitatu sasa,Video yake iko mbioni kuwa hewani baada ya kuripotiwa kuwa hivi sasa Amini na Linnah,wako Mjini Bagamoyo, kutengeneza video hiyo.
Kaa tayari kuipata video hiyo kupitia hapa.


No comments:

Post a Comment