Tuesday, February 26, 2013

hii ndiyo safari ya mwisho ya Goldie Harvey







Goldie Harvey, amefariki tarehe alhamisi tarehe 14 baada ya kupata maumivu ya kichwa mara tu,mara tu alipotoka Los Angeles nchini Marekani. Harvey amezikwa jana kwenye makaburi ya Vaults and Gardens ambayo ni ya ndugu wa karibu wa familia ya marehemu, huko Ikoyi Nigeria.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Amen. 

No comments:

Post a Comment