Saturday, February 23, 2013

Afande Sele mbioni kutoa Albam mpya.

Rapper maarufu nchini Tanzania Afande Sele,kutoka Morogoro,anatarajia kurelease albam yake mpya hivi karibuni baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu
Afande ambae alitamba na ngoma zake nzito kipindi cha nyuma zilizokuwepo kwenye album yake ya kwanza kabisa iliyokwenda kwa jina la Darubini Kali, yuko mbioni kuachia album yake mpya ambayo itakwenda kwa jina la ''Kingdom Ya Amani Na Upendo''.
Mpaka sasa rapper huyo hajasema album hiyo imebeba ngoma ngapi na ameshirikiana na wasanii gani na wangapi.
Endelea kutembelea blog yetu uburudanike zaidi.

No comments:

Post a Comment